Monday, July 14, 2014

MAJANGA CHADEMA JIMBO LA IRINGA MJINI ,VIONGOZI WAKE KATA YA RUAHA WASEMA WAMECHOSHWA NA UBABAISHAJI WA MBUNGE MSIGWA WAREJEA CCM ,WAMPA TANO KABATI



Diwani  wa kata ya Mtwivila Vitus  Mushi akisaliama na wadau  leo.




viongozi  wa Chadema  waliohamia  CCM leo katika mkutano wa CCM kuimarisha chama uliofanyika mtaa wa Kwa mwagongo.




Aliyekuwa  katibu kata ya Ruaha  Juma Kapalampya  kushoto  akikabidhi nyaraka ya siri ya Chadema na kadi 40 kwa katibu wa CCM mkoa Hasan Mtenga  leo ,kulia ni mbunge wa  viti maalum mkoa wa Iringa Ritta kabati.
Baadhi ya  nyaraka za  Chadema na kadi





Makada  wa  Chadema  waliojiunga na CCM Iringa mjini  wakila kiapo

Chanzo:www.iringa-yetu.blogspot.com



No comments:

Post a Comment